HUDUMA YA MAVAZI
Buy ,sell and earn with kijijishop
Karibu kijijishop,imeandaliwa na living ernest ndada.
Kijijishop ni kampuni pekee tanzania inayo jiusisha na swala lizima la kuuza na kununua bidhaa kwa njia ya kimtandao
Pamoja na kutoa ajira kwa vijana kwa njia ya nertwork marketing.
Leo tunaenda kuwaonyesha aina ya nguo zinazopatikana kijijishop
Na unafuu wake na ubora wake
Tutangulize shukrani ,pia tuwataarifu yakuwa tunatangaza biashara za watu kupitia youtube,facebook ,instergram pamoja na kupitia blog yetu hii
Karibu ndanda tv tukuhudumie
0625539736
MAVAZI.
T_shirt kali ,ya champion boy.
Nguo hii ni nzuri ,imara ukubwa wa xxl,xl Rangi za aina zote
Bei ni 15000/= + free delivery popote hulipo.
Mashabiki wa simba mpooo
Uzi bora wa simba ,t shirt ya mtoko
Mahali popote unaingia nayo
Size na rangi yoyote unaipata
Ni nzuri ,ni cotton ,nzito na maandishi ya kudariziwa yaani hayabanduki hata ukae juani.
Bei ni 20000/= + free delivery bureee hadi ulipo.
T-shirt flan iv kali ya champion boy
Cotton full ,gharama ni rahisi na nyepesi sana bila kusahau ukinunua kwaanzia 5 unapata punguzo la bei kwa kila tshirt la hadi 25%
Na usafiri ni buree hadi ulipo .
Gharama ni 15000/=
Ukinunua champion boy hio nyeusi unajipatia na ofa ya champion boy nyingine pamoja na usafiri buree kabisa
Size na rangi za aina zote zinapatikana
Kisweta cha kwenda na kuombea namba kwa wadada wakali .
Cotton plus ,usafiri bure
Tshirt kali ,colour white ,size xl and l
Usafiri bure 15000/=
Mapenzi yanakuchanganya,au uliempenda hukuelewi Sasa usiteseke tena jifariji kwa kuvaa pamba ya love is not war ,size zote zipo,ni nzito ,rangi ,za aina zote unapata
Gharama ni ,15000/=
Tena kwagharama nafuu kabisa bila ya usumbufu wowote
Ni kwa 100000/= tsh
Unapendeza zaid na full suttttt
Fuully pamba ni kwa bei cheee kabisa
WADADA
Sasa hapa tunaenda kuwaonyesha pamba
Za watotobwakike yaani
Pc za kwenda
Na ni kwa gharama ndogo na nafuu sana.
Je unataka kuvaa kama huyu dada?
Usiogope
Ukahisi ni gharama kubwa sana
Yote haya hutapata huduma safi ndani ya kijijishop.co.tz pekee
Zipo za aina mbalimbali
Zote full ni kwq gharama ya 45000/= wahi sasa.
Unapenda kuvaa jins sutiiiiUjachelewa pendeza kama dada yetu apo kwa gharama ndogo kabisa kuwahi kutokea
Bila kusahau usafiri wa buree kabisaaa
Kwa yeyote anayeitaji huduma za kutangaziwa biashara yake
Kuandaliwa makala
Asisite kuwasiliana nasi kwa 0625539736
Kwa gharama ya 40000/= kwa mwezi mzima hii ni kwa account zetu zote za mitandao ya kijamii.
Uza ,nunua na jiajiri mtandaoni na kijijishop.
Wapigie 0683334001
Waweze kukusaidia











Good job
ReplyDeleteSante sana
Delete