Posts

Showing posts from March, 2022

KILIMO CHA KUFANYA ILI UFANIKIWE MWAKA HUU .2022

Image
@official kilimo kwanza 2022 Imekua kama bahati leo kuwaletea makala kama hii kwani wengi wetu tutafunguka akili na kutambua ni zao lipi tunaweza kulitumia na kulilima shambani na lika tuletea faida kubwa sana kwa mwaka huu. NB; takwimu hizi zimebezi kwenye mazao makuu kumi ambayo yana samani kubwa kwa mwaka huu 2022 kutokana na uitaji wa masoko ndani na nje ya nchi ulivo ,sio siri kuwa wengi tunalima tu bila ya kujua ni nini tunalima,wapi tutauza ,na kwanini tunalima, basi twende sawa kwenye makala hii pia twende na ile ile slogan yetu yakuwa KILIMO KWANZA "fanya kilimo na kikulipe". Hivo basi kwa kauli mbiu hio app juu basi twende saww sawa ili tutambue ni kilimo kipi kinaweza kututoa meaka huu 2022. 1.KIlimo cha maharage Hiki ni moja ya zao kubwa sana na lenye thamani kubwa sana africa na njebya africa.kwa.sasa kwani karibia ya 60%ya watanzania na nje ya tanzania tunalitumia zao hili kwa kasi kubwa sana ,lakini sio siri kuwa watanzania wengi tumejisahau na kusahau kulilima...

FAIDA ZA KILIMO

 Kilimo ni moja ya uti wa mgongo nchini kwetu namini wote tunalielewa hilo lakini watanzania wengi wanashindwa kufanikisha malengo yao ya kilimo ivo basi kilimo kwanza company leo imeona iwaletee leo mbinu mbalimbali na faida zake katika kilimo ;kwakusema ivo basi twende sambamba¿¿ ©Ongezeko la mapato ,kilimo kinasimama kama muhimili mkubwa sana wa chazo cha mapato kwa serikali na organization pia kwa mtu binafsi ,sio siri kuwa matajiri wengi wakubwa piaa wanajihusisha na kilimo biaahara kama chanzo cha mapato ,ivo basi ni wazi kuwa sote tukijikita katika sekta ya kilimo hususani, kilimo biashara kwa ukamilifu wote naamini tutafanikiwa kukifanya kilimo kuwa chanzo kikubwa sana cha mapato na mafanikio yetu yote kwa ujumla. ©ongezeko la ajira ; hapa sasa ndipo mahali husika kwa sisi vijana na wafanyabiashara kwa ujumla tunaoenda ,na kauli mbiu ya "fanya kilimo na kikulipe" ,ni wazi kuwa kwa takwimu zinaonyesha kuwa takribani  1/4 ya vijana wanakumbwa na changamoto ya ajira ,yan...

KILIMO BIASHARA

 Leo nawaletea mada hadhimu ya kilimo biashara ,kwani wengi huwa tunashindwa kuelewa kilimo ni nini na je nivipi naweza fanya kilimo kuwa kilimo biashara ,huvi vote vinawezekana na ni simpo sana ,je ushajiuliza wakulima wengi kwanini.atutumii nyanja mbalimbali za kilimo ,mhhh inashangaza na ni aibu kubwa sana kwa taifa kama tanzania ambalo lipo uchumi wakati lakini wakulima wengi hawafati hatua stahiki za kilimo ,tukubaliane ivi kilimo biashara kinatokana na njia na mbinu mbalimbali za kufata bila kusahau nyanja mbalimbali za kilimo ili kufanya kilimo biashara ni lazima tuanze na kilimo bora. BY LIVING NDANDA